Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 16:9 - Swahili Revised Union Version

9 pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 16:9
6 Marejeleo ya Msalaba  

akamweka awe mfalme wa Gileadi, na Waasheri, na Yezreeli, na Efraimu, na Benyamini, na juu ya Israeli wote.


Na hizi ndizo miliki yao na makao yao; Betheli na vijiji vyake, na upande wa mashariki Naara, na upande wa magharibi Gezeri na vijiji vyake; na Shekemu pia na vijiji vyake, hata Aza na vijiji vyake;


Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.


Nao hawakuwatoa Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri; lakini hao Wakanaani waliketi kati ya Efraimu, hata hivi leo, wakawa watumishi wa kufanya kazi za shokoa.


Kutoka hapo Tapua mpaka ukaendelea upande wa magharibi hadi kijito cha Kana; na mwisho wake ulikuwa baharini. Huo ndio urithi wa hao wana wa Efraimu kwa kufuata jamaa zao;


Tena mpaka uliteremka hadi kijito cha Kana, upande wa kusini wa hicho kijito; miji hiyo ilikuwa ya Efraimu kati ya miji ya Manase; na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa hicho kijito, na mwisho wake ulikuwa baharini;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo