Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:55 - Swahili Revised Union Version

55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

55 Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

55 Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

55 Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta;

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:55
19 Marejeleo ya Msalaba  

na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;


Basi Ahabu akainuka ili ale na kunywa. Naye Eliya akapanda juu mpaka kilele cha Karmeli; akasujudu kifudifudi, akainama uso mpaka magotini.


Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.


Na mwana wake Shamai alikuwa Maoni; na Maoni alikuwa babaye Beth-suri.


Akajenga minara tena nyikani, akachimba mabwawa mengi, maana alikuwa na ng'ombe tele; katika Shefela pia, na katika nchi tambarare; tena alikuwa na wakulima na watunza mizabibu milimani, na katika mashamba ya neema; maana yeye alipenda ukulima.


Litachanua maua mengi, na kufurahi, naam, kwa shangwe na kuimba; litapewa uzuri wa Lebanoni, utukufu wa Karmeli na Sharoni; watauona utukufu wa BWANA, ukuu wa Mungu wetu.


Zifu, Telemu, Bealothi;


Humta, Kiriath-arba (ndio Hebroni) na Siori; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.


Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa;


Alameleki, Amadi na Mishali; nao ukafika hadi Karmeli upande wa magharibi, tena ulifikia hadi Shihor-libnathi;


na Aini, pamoja na mbuga zake za malisho, na Yuta pamoja na mbuga zake za malisho, na Beth-shemeshi pamoja na mbuga zake za malisho; miji tisa katika makabila hayo mawili.


Samweli akaondoka asubuhi na mapema ili aonane na Sauli; Samweli akaambiwa ya kwamba, Sauli alifika Karmeli, na tazama, akajisimamishia mnara wa ukumbusho wake, akageuka, akapita, akateremkia Gilgali.


Nao wakaondoka, wakaenda Zifu kumtangulia Sauli; lakini Daudi na watu wake walikuwapo nyikani pa Maoni, katika Araba upande wa kusini mwa jangwa.


Basi Sauli na watu wake wakaenda kumtafuta. Watu wakamwambia Daudi; basi kwa hiyo akashuka mpaka mwambani, akakaa nyikani pa Maoni. Naye Sauli alipopata habari, alimwinda Daudi nyikani pa Maoni.


Na huko Maoni kulikuwa na mtu mmoja, ambaye alikuwa na mali yake katika Karmeli; naye yule mtu alikuwa tajiri sana, mwenye kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli.


Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo wako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo