Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:35 - Swahili Revised Union Version

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka;

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:35
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.


Mwana wa Hesedi, katika Arubothi; na Soko ilikuwa kwake na nchi yote ya Heferi.


Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.


Beth-suri, Soko, Adulamu,


Adoraimu, Lakishi, Azeka,


na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;


Bado, wakazi wa Maresha, nitawaleteeni tena yeye atakayewamiliki; Utukufu wa Israeli utafika Adulamu.


BWANA naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni, akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni, na kuwapiga hadi kufikia Azeka, tena hadi kufikia Makeda.


Nao wakafanya hivyo, wakamletea hao wafalme watano hapo nje ya pango, yaani, mfalme wa Yerusalemu, na mfalme wa Hebroni, na mfalme wa Yarmuthi, na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni.


Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia,


mfalme wa Yarmuthi, mmoja; na mfalme wa Lakishi, mmoja;


mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;


Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu;


Shaarimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.


Na katika nchi ya vilima, Shamiri, Yatiri, Soko;


Wakati huo Wafilisti walikusanya majeshi yao kwa vita, nao wakakusanyika huko Soko, ulio mji wa Yuda, wakatua kati ya Soko na Azeka, katika Efes-damimu.


Basi Daudi akaondoka huko, akakimbilia pango la Adulamu; na ndugu zake na watu wote wa ukoo wa baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo