Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 11:19 - Swahili Revised Union Version

19 Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli, isipokuwa ni wale Wahivi waliokaa Gibeoni; wakaitwaa yote kwa vita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hakuna mji ambao ulifanya mapatano ya amani na Waisraeli, isipokuwa Gibeoni tu, ambamo waliishi Wahivi. Waisraeli waliiteka miji mingine yote kwa kupigana vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hakuna mji ambao ulifanya mapatano ya amani na Waisraeli, isipokuwa Gibeoni tu, ambamo waliishi Wahivi. Waisraeli waliiteka miji mingine yote kwa kupigana vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hakuna mji ambao ulifanya mapatano ya amani na Waisraeli, isipokuwa Gibeoni tu, ambamo waliishi Wahivi. Waisraeli waliiteka miji mingine yote kwa kupigana vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hakuna mji wowote katika eneo hili uliofanya mkataba wa amani na Israeli, isipokuwa hao Wahivi wa Gibeoni. Wengine wote walishindwa katika vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hakuna mji wowote katika eneo hili uliofanya mkataba wa amani na Israeli, isipokuwa hao Wahivi wa Gibeoni. Wengine wote walishindwa katika vita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli, isipokuwa ni wale Wahivi waliokaa Gibeoni; wakaitwaa yote kwa vita.

Tazama sura Nakili




Yoshua 11:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote.


aliwaacha wakuu watano wa Wafilisti, na Wakanaani wote, na Wasidoni, na Wahivi waliokaa katika kilima cha Lebanoni, toka mlima wa Baal-hermoni mpaka kuingia Hamathi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo