Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 11:18 - Swahili Revised Union Version

18 Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Yoshua akapigana vita siku nyingi na wafalme hao wote.

Tazama sura Nakili




Yoshua 11:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

tangu kilima cha Halaki, kiendeleacho upande wa Seiri, mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni; naye akawatwaa wafalme wao wote, akawapiga, na kuwaua.


Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli, isipokuwa ni wale Wahivi waliokaa Gibeoni; wakaitwaa yote kwa vita.


Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo