Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:67 - Swahili Revised Union Version

67 Basi Yesu akawaambia wale Kumi na Wawili, Je! Ninyi nanyi mnataka kuondoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

67 Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

67 Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

67 Basi Yesu akawaambia wale Kumi na Wawili, Je! Ninyi nanyi mnataka kuondoka?

Tazama sura Nakili




Yohana 6:67
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye;


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Lakini mmoja wa wale Kumi na Wawili, Tomaso, aitwaye Pacha, hakuwako pamoja nao alipokuja Yesu.


Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Kumi na Wawili, na mmoja wenu ni shetani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo