Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:66 - Swahili Revised Union Version

66 Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

66 Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:66
17 Marejeleo ya Msalaba  

na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Yule kijana alipolisikia neno lile, akaenda zake kwa huzuni; kwa sababu alikuwa na mali nyingi.


Yesu akamwambia, Mtu aliyetia mkono wake kulima, kisha akaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Basi watu wengi miongoni mwa wanafunzi wake waliposikia, walisema, Neno hili ni gumu, ni nani awezaye kulisikia?


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.


Basi ndugu zake wakamwambia, Ondoka hapa, uende Yudea, wanafunzi wako nao wapate kuzitazama kazi zako unazozifanya.


Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo