Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 6:9 - Swahili Revised Union Version

9 Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kwamba angekuwa radhi kunipondaponda, angenyosha mkono wake anikatilie mbali!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kwamba angekuwa radhi kunipondaponda, angenyosha mkono wake anikatilie mbali!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 kwamba angekuwa radhi kunipondaponda, angenyosha mkono wake anikatilie mbali!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!

Tazama sura Nakili




Yobu 6:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Laiti ungenificha kuzimuni, Ukanilinda kwa siri, hata ghadhabu zako zitakapopita, Na kuniandikia muda ulioamriwa, na kunikumbuka!


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!


Mimi ni mkamilifu; siangalii nafsi yangu; Naudharau uhai wangu.


Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi.


Makao yangu yameondolewa kabisa, yamechukuliwa kama hema ya mchungaji; Nimekunja maisha yangu kama mfumaji; atanikatilia mbali na kitanda cha mfumi; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo