Yobu 6:10 - Swahili Revised Union Version10 Hapo ndipo ningefarijika hata sasa; Naam, ningejikuza katika maumivu yasiyoniacha; Kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Hiyo ingekuwa faraja yangu, ningefurahi katika maumivu yasiyo na huruma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Hiyo ingekuwa faraja yangu, ningefurahi katika maumivu yasiyo na huruma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Hiyo ingekuwa faraja yangu, ningefurahi katika maumivu yasiyo na huruma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu. Tazama sura |