Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 6:8 - Swahili Revised Union Version

8 Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

Tazama sura Nakili




Yobu 6:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Ambao wangojea mauti, lakini hawayapati; Na kuyachimbulia kuliko watafutavyo hazina iliyostirika;


Ambao wafurahi mno, Na kushangilia watakapoliona kaburi?


Roho yangu inakataa hata kuvigusa; Kwangu mimi ni kama chakula kichukizacho.


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo