Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu asiiangalie toka juu, Wala mwanga usiiangazie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Siku hiyo na iwe giza! Mungu juu asijishughulishe nayo! Wala nuru yoyote isiiangaze!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Siku hiyo na iwe giza! Mungu juu asijishughulishe nayo! Wala nuru yoyote isiiangaze!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Siku hiyo na iwe giza! Mungu juu asijishughulishe nayo! Wala nuru yoyote isiiangaze!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Siku ile na iwe giza; Mungu juu na asiiangalie; nayo nuru isiiangazie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Siku ile na iwe giza; Mungu juu na asiiangalie; nayo nuru isiiangazie.

Tazama sura Nakili




Yobu 3:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi, Na ule usiku uliosema, Mtoto wa kiume ametungishwa mimba.


Ishikwe na giza, giza tupu, kuwa yake; Wingu na likae juu yake; Chote kiifanyacho siku kuwa giza na kiitishe.


siku ya giza na huzuni, siku ya mawingu na giza kuu. Kama mapambazuko yakitandazwa juu ya milima, hao ni wakuu, tena wenye nguvu, mfano wao haukuwako kamwe, wala hautakuwako baada ya hao, hata katika miaka ya vizazi vingi.


Ole wenu! Ninyi mnaoitamani siku ya BWANA; kwa nini kuitamani siku ya BWANA? Ni giza, wala si nuru.


Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.


Jua wala nyota hazikuonekana kwa muda wa siku nyingi, na tufani kuu ikatushika, basi tukakata tamaa ya kuokoka.


nayo ni nchi itunzwayo na BWANA, Mungu wako; macho ya BWANA Mungu wako, ya juu yake, tangu mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.


Na huyo wa tano akalimimina bakuli lake juu ya kiti cha enzi cha yule mnyama; ufalme wake ukatiwa giza; wakatafuna ndimi zao kwa sababu ya maumivu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo