Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 3:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?

Tazama sura Nakili




Yobu 3:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu haukuifunga milango ya tumbo la mamangu. Wala kunifichia taabu machoni.


Mbona pawe na magoti ya kunipokea? Au hayo maziwa, hata nikanyonya?


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.


Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;


naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;


Nisikilizeni, enyi wa nyumba ya Yakobo, ninyi mlio mabaki ya nyumba ya Israeli, mliochukuliwa nami tangu tumboni, mlioinuliwa tangu mimbani;


Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.


kwa sababu hakuniua nilipotoka tumboni, na hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu, na mimba yake sikuzote nzito.


Wape, Ee BWANA; utawapa kitu gani? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na maziwa makavu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo