Yobu 3:11 - Swahili Revised Union Version11 Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni? Tazama sura |