Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 13:11 - Swahili Revised Union Version

11 Je! Huo ukuu wake hautawatia hofu, Na utisho wake hautawaangukia?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Je, fahari yake haiwatishi? Je, hampatwi na hofu juu yake?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Je, fahari yake haiwatishi? Je, hampatwi na hofu juu yake?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Je, fahari yake haiwatishi? Je, hampatwi na hofu juu yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

Tazama sura Nakili




Yobu 13:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Uondoe mkono wako usinilemee; Na utisho wako usinitie hofu.


Kwani msiba utokao kwa Mungu ulikuwa na kitisho kwangu, Na kwa sababu ya ukuu wake sikuweza kufanya neno.


Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.


Hofu na woga zimewaangukia; Kwa uweza wa mkono wako wanakaa kimya kama jiwe; Hata watakapovuka watu wako, Ee BWANA, Hata watakapovuka watu wako uliowanunua.


BWANA wa majeshi ndiye mtakayemtakasa; na awe yeye hofu yenu, na awe yeye utisho wenu.


Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.


Je! Hamniogopi mimi? Asema BWANA; hamtatetemeka mbele za uso wangu; mimi niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, kwa amri ya daima, isiweze kuupita? Mawimbi yake yajapoumuka-umuka, hayawezi kushinda nguvu; yajapovuma sana, hayawezi kuupita.


Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika Jehanamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo