Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 13:12 - Swahili Revised Union Version

12 Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Misemo yenu ni methali za majivu, hoja zenu ni ngome za udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

Tazama sura Nakili




Yobu 13:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akajibu, akasema, Basi, nimeshika kusema na Bwana, nami ni mavumbi na majivu tu.


BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Je! Huo ukuu wake hautawatia hofu, Na utisho wake hautawaangukia?


Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Je! Si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika mchanga, Hao wanaopondwa kama nondo!


Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


Ziwe mbele za BWANA daima, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


Uso wa BWANA ni juu ya watenda mabaya, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


BWANA akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.


Kwa maana twajua ya kuwa nyumba ya maskani yetu iliyo ya dunia hii ikiharibiwa, tunalo jengo litokalo kwa Mungu, nyumba isiyofanywa kwa mikono, iliyo ya milele mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo