Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 10:6 - Swahili Revised Union Version

6 Hata ukaulizauliza habari za uovu wangu, Na kuitafuta dhambi yangu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 hata uuchunguze uovu wangu, na kuitafuta dhambi yangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 ili utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;

Tazama sura Nakili




Yobu 10:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.


Lakini sasa wazihesabu hatua zangu; Je! Huchungulii dhambi yangu?


Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?


Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Uuvunje mkono wa mdhalimu, Na mwovu, uipatilize dhuluma yake, hadi usiione.


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


Tena katika pindo za nguo zako imeonekana damu ya roho zao maskini wasio na hatia; sikuiona penye mahali palipobomoka, lakini niliiona juu ya hawa wote.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Lakini huko, kama mkimtafuta BWANA, Mungu wako, utampata, ukimtafuta kwa moyo wako wote, na roho yako yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo