Yobu 10:7 - Swahili Revised Union Version7 Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wewe wajua kwamba mimi sina hatia, na hakuna wa kuniokoa mikononi mwako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wewe wajua kwamba mimi sina hatia, na hakuna wa kuniokoa mikononi mwako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wewe wajua kwamba mimi sina hatia, na hakuna wa kuniokoa mikononi mwako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 ingawa unajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako? Tazama sura |
Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zumari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuri liwakalo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi mikononi mwangu?