Yeremia 5:12 - Swahili Revised Union Version12 Wamemkataa BWANA, na kusema, Si yeye; wala hayatatupata mabaya; wala hatutaona upanga wala njaa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Wamesema uongo juu ya Mwenyezi-Mungu wamesema: “Hatafanya kitu; hatutapatwa na uovu wowote; hatutashambuliwa wala kuona njaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Wamesema uongo juu ya Mwenyezi-Mungu wamesema: “Hatafanya kitu; hatutapatwa na uovu wowote; hatutashambuliwa wala kuona njaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Wamesema uongo juu ya Mwenyezi-Mungu wamesema: “Hatafanya kitu; hatutapatwa na uovu wowote; hatutashambuliwa wala kuona njaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Wamedanganya kuhusu Mwenyezi Mungu. Wamesema, “Yeye hatafanya jambo lolote! Hakuna dhara litakalotupata; kamwe hatutaona upanga wala njaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Wamedanganya kuhusu bwana. Wamesema, “Yeye hatafanya jambo lolote! Hakuna dhara litakalotupata; kamwe hatutaona upanga wala njaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Wamemkataa BWANA, na kusema, Si yeye; wala hayatatupata mabaya; wala hatutaona upanga wala njaa; Tazama sura |