Yeremia 5:13 - Swahili Revised Union Version13 na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Manabii si kitu, ni upepo tu; maana neno lake Mungu halimo ndani yao.” Basi hayo na yawapate wao wenyewe! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Manabii si kitu, ni upepo tu; maana neno lake Mungu halimo ndani yao.” Basi hayo na yawapate wao wenyewe! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Manabii si kitu, ni upepo tu; maana neno lake Mungu halimo ndani yao.” Basi hayo na yawapate wao wenyewe! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao; kwa hiyo hayo wayasemayo na yatendeke kwao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao, kwa hiyo hayo wayasemayo na yatendeke kwao.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa. Tazama sura |