Yeremia 5:11 - Swahili Revised Union Version11 Maana nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamenitenda kwa hiana sana, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Naam, watu wa Israeli na watu wa Yuda, wamekosa kabisa uaminifu kwangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Naam, watu wa Israeli na watu wa Yuda, wamekosa kabisa uaminifu kwangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Naam, watu wa Israeli na watu wa Yuda, wamekosa kabisa uaminifu kwangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamekuwa si waaminifu kwangu kabisa,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamekuwa si waaminifu kwangu kamwe,” asema bwana. Tazama sura |