Yeremia 48:9 - Swahili Revised Union Version9 Mpe Moabu mabawa, apate kuruka na kwenda zake; na miji yake itakuwa ukiwa, isiwe na mtu wa kukaa ndani yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mchimbieni Moabu kaburi, maana kuangamia kwake ni hakika; miji yake itakuwa tupu, bila mkazi hata mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mchimbieni Moabu kaburi, maana kuangamia kwake ni hakika; miji yake itakuwa tupu, bila mkazi hata mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mchimbieni Moabu kaburi, maana kuangamia kwake ni hakika; miji yake itakuwa tupu, bila mkazi hata mmoja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu, kwa kuwa ataangamizwa; miji yake itakuwa ukiwa, hakutakuwa na mtu atakayeishi ndani yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu, kwa kuwa ataangamizwa; miji yake itakuwa ukiwa, pasipo kuwa na mtu atakayeishi ndani yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Mpe Moabu mabawa, apate kuruka na kwenda zake; na miji yake itakuwa ukiwa, isiwe na mtu wa kukaa ndani yake. Tazama sura |