Yeremia 48:7 - Swahili Revised Union Version7 Maana, kwa kuwa umeyatumainia matendo yako, na hazina zako, wewe nawe utatwaliwa; na Kemoshi atatoka aende katika uhamisho, makuhani wake na wakuu wake pamoja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 “Moabu, ulitumainia ngome na hazina zako, lakini sasa wewe pia utatekwa; mungu wako Kemoshi atapelekwa uhamishoni pamoja na makuhani na watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 “Moabu, ulitumainia ngome na hazina zako, lakini sasa wewe pia utatekwa; mungu wako Kemoshi atapelekwa uhamishoni pamoja na makuhani na watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 “Moabu, ulitumainia ngome na hazina zako, lakini sasa wewe pia utatekwa; mungu wako Kemoshi atapelekwa uhamishoni pamoja na makuhani na watumishi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali yenu, ninyi pia mtachukuliwa mateka, naye Kemoshi ataenda uhamishoni, pamoja na makuhani wake na maafisa wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu, ninyi pia mtachukuliwa mateka, naye Kemoshi atakwenda uhamishoni, pamoja na makuhani wake na maafisa wake. Tazama sura |