Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 48:6 - Swahili Revised Union Version

6 Haya! Kimbieni! Jiokoeni nafsi zenu! Mkawe kama mtu aliye mkiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kimbieni! Jiokoeni wenyewe! Kimbieni kama pundamwitu jangwani!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.

Tazama sura Nakili




Yeremia 48:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde popote; ujiponye mlimani, usije ukaangamia.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.


Kimbieni kutoka kati ya Babeli, kila mtu na ajiokoe nafsi yake; msikatiliwe mbali katika uovu wake; maana ni wakati wa kisasi cha BWANA, atamlipa malipo.


Basi, aliwaambia makutano ya wale waliomwendea ili awabatize, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekwayo mbele yetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo