Yeremia 18:2 - Swahili Revised Union Version2 Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Shuka uende hadi nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Shuka uende mpaka nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu. Tazama sura |