Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 18:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Shuka uende hadi nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Shuka uende mpaka nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 18:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

wakati huo BWANA alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako.


BWANA akaniambia hivi, Nenda ukajinunulie kitambaa cha kitani, ukajifunge kiunoni, wala usikitie majini.


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,


Basi nikashuka mpaka nyumba ya mfinyanzi, na tazama, alikuwa akifanya kazi yake kwa magurudumu.


Lakini kama wangalisimama katika baraza yangu, ndipo wangaliwasikizisha watu wangu maneno yangu, na kuwageuza waziache njia zao mbaya, na uovu wa matendo yao.


Haya ndiyo aliyonionesha; na tazama, Bwana alisimama karibu na ukuta uliojengwa kwa timazi, mwenye timazi mkononi mwake.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo