Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 18:3 - Swahili Revised Union Version

3 Basi nikashuka mpaka nyumba ya mfinyanzi, na tazama, alikuwa akifanya kazi yake kwa magurudumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, nikateremka mpaka nyumbani kwa mfinyanzi, nikamkuta mfinyanzi akifanya kazi yake penye gurudumu la kufinyangia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, nikateremka mpaka nyumbani kwa mfinyanzi, nikamkuta mfinyanzi akifanya kazi yake penye gurudumu la kufinyangia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, nikateremka mpaka nyumbani kwa mfinyanzi, nikamkuta mfinyanzi akifanya kazi yake penye gurudumu la kufinyangia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa hiyo nikashuka hadi nyumba ya mfinyanzi, nikamkuta akifinyanga kwa gurudumu lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa hiyo nikashuka mpaka kwenye nyumba ya mfinyanzi, nikamkuta akifinyanga kwa gurudumu lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi nikashuka mpaka nyumba ya mfinyanzi, na tazama, alikuwa akifanya kazi yake kwa magurudumu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 18:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.


Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikitengeneza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.


Lakini Yona akaondoka akimbilie Tarshishi, apate kujiepusha na uso wa BWANA; akateremka hadi Yafa, akaona merikebu inayokwenda Tarshishi; basi, akalipa nauli, akapanda merikebuni, aende pamoja nao Tarshishi, ajiepushe na uso wa BWANA.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo