Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 18:1 - Swahili Revised Union Version

1 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa bwana:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura Nakili




Yeremia 18:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likamjia, kusema,


Ninyi mnapindua mambo; Je! Mfinyanzi ahesabiwe kuwa kama udongo; kitu kilichofinyangwa kimnene yeye aliyekifinyanga, Hakunifinyanga huyu; au kitu kilichoumbwa kimnene yeye aliyekiumba, Yeye hana ufahamu?


Lakini kama hamtaki kunisikiliza, kuitakasa siku ya sabato, kutokuchukua mzigo katika malango ya Yerusalemu siku ya sabato; basi, nitawasha moto malangoni mwake, nao utaziteketeza nyumba za enzi za Yerusalemu, wala hautazimika.


Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo