Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 5:18 - Swahili Revised Union Version

18 Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua, nayo ardhi ikatoa mazao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua nayo ardhi ikatoa mazao yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.

Tazama sura Nakili




Yakobo 5:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za BWANA; nawe umewafuata mabaali.


Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo