Yakobo 5:10 - Swahili Revised Union Version10 Ndugu, watwaeni manabii walionena kwa jina la Bwana, wawe mfano wa kustahimili mabaya, na wa uvumilivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Ndugu zangu, waangalieni manabii walionena kwa jina la Mwenyezi Mungu, wakiwa mfano wa uvumilivu katika kukabiliana na mateso. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Ndugu zangu, waangalieni manabii walionena kwa Jina la Bwana Mwenyezi, ili kuwa mfano wa uvumilivu katika kukabiliana na mateso. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Ndugu, watwaeni manabii walionena kwa jina la Bwana, wawe mfano wa kustahimili mabaya, na wa uvumilivu. Tazama sura |