Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 1:23 - Swahili Revised Union Version

23 Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Neno lile ulilotuambia kwa jina la BWANA, sisi hatutakusikiliza.


Kila mtu ajaye kwangu, na kuyasikia maneno yangu na kuyatenda, nitawaonesha mfano wake.


Na Waandishi na Mafarisayo walikuwa wakimvizia, ili waone kama ataponya siku ya sabato; kusudi wapate neno la kumshitakia.


Maana sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.


Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo