Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 1:24 - Swahili Revised Union Version

24 Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na husahau upesi jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wale watu wakamaka wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata pepo na bahari zamtii?


Na wote walioyasikia wakayaweka mioyoni mwao, wakisema, Mtoto huyu atakuwa wa namna gani? Kwa sababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.


Basi, yule Farisayo aliyemwalika alipoona vile, alisema moyoni mwake, Mtu huyu kama angekuwa nabii, angemtambua mwanamke huyu amgusaye, ni nani, naye ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi.


ya kwamba Injili yetu haikuwafikia katika maneno tu, bali na katika nguvu, na katika Roho Mtakatifu, na uthibitifu mwingi; kama vile mnavyojua jinsi zilivyokuwa tabia zetu kwenu, kwa ajili yenu.


Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,


Ndipo akawaambia hao Zeba na Salmuna, Hao watu mliowaua huko Tabori walikuwa watu wa namna gani? Wakamjibu, Walikuwa kama wewe ulivyo; kila mmoja alikuwa anafanana na wana wa mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo