Yakobo 1:14 - Swahili Revised Union Version14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Tazama sura |