Yakobo 1:13 - Swahili Revised Union Version13 Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mwenyezi Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Tazama sura |