Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 2:7 - Swahili Revised Union Version

7 Tena matoleo yako kwamba ni sadaka ya unga ya chunguni, yataandaliwa kwa unga mwembamba pamoja na mafuta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kama sadaka unayotoa ni ya mikate iliyopikwa katika sufuria, hiyo itakuwa ya unga laini na imetiwa mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kama sadaka unayotoa ni ya mikate iliyopikwa katika sufuria, hiyo itakuwa ya unga laini na imetiwa mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kama sadaka unayotoa ni ya mikate iliyopikwa katika sufuria, hiyo itakuwa ya unga laini na imetiwa mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Ikiwa sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Tena matoleo yako kwamba ni sadaka ya unga ya chunguni, yataandaliwa kwa unga mwembamba pamoja na mafuta.

Tazama sura Nakili




Walawi 2:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

tena kazi ya mikate ya wonyesho, na ya unga mwembamba wa sadaka ya unga; ikiwa ni wa maandazi yasiyochachwa, au wa yale yaliyotokoswa, au wa yale yaliyookwa; na kazi ya kila namna ya kipimo na cheo;


Utaukatakata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.


Nawe utamletea BWANA sadaka ya unga iliyofanywa ya vitu hivyo; nayo italetwa kwa kuhani, naye ndiye atakayeisongeza madhabahuni.


Na kila sadaka ya unga iliyookwa mekoni, na yote yaliyoandaliwa chunguni, au kaangoni, yote yatakuwa ya huyo kuhani aliyeyasongeza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo