Walawi 2:8 - Swahili Revised Union Version8 Nawe utamletea BWANA sadaka ya unga iliyofanywa ya vitu hivyo; nayo italetwa kwa kuhani, naye ndiye atakayeisongeza madhabahuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Utaleta sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu; na kuhani ataipeleka kwenye madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Utaleta sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu; na kuhani ataipeleka kwenye madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Utaleta sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu; na kuhani ataipeleka kwenye madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Ilete hiyo sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Mwenyezi Mungu; mkabidhi kuhani, ambaye ataipeleka madhabahuni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Ilete hiyo sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa bwana; mkabidhi kuhani ambaye ataipeleka madhabahuni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Nawe utamletea BWANA sadaka ya unga iliyofanywa ya vitu hivyo; nayo italetwa kwa kuhani, naye ndiye atakayeisongeza madhabahuni. Tazama sura |