Walawi 16:8 - Swahili Revised Union Version8 Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Atawapigia kura hao beberu wawili, kura moja kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na nyingine kwa ajili ya Azazeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Atawapigia kura hao beberu wawili, kura moja kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na nyingine kwa ajili ya Azazeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Atawapigia kura hao beberu wawili, kura moja kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na nyingine kwa ajili ya Azazeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Haruni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi za Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Haruni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya bwana na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli. Tazama sura |