Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 16:9 - Swahili Revised Union Version

9 Na Haruni atamleta yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya BWANA, na kumtoa awe sadaka ya dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Atamleta yule beberu ambaye kura ilimtaka kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na kumtolea sadaka ya kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Atamleta yule beberu ambaye kura ilimtaka kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na kumtolea sadaka ya kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Atamleta yule beberu ambaye kura ilimtaka kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na kumtolea sadaka ya kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Haruni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya Mwenyezi Mungu imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Haruni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya bwana imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Na Haruni atamleta yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya BWANA, na kumtoa awe sadaka ya dhambi.

Tazama sura Nakili




Walawi 16:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bali yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Azazeli atawekwa hai mbele za BWANA ili kumfanyia upatanisho, ili kumpeleka jangwani kwa ajili ya Azazeli.


Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli.


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo