Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:47 - Swahili Revised Union Version

47 Kuhusu mavazi; vazi ambalo pigo la ukoma limo ndani yake, liwe ni vazi la sufu au la katani;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 “Kama kuna namna ya upele wa ukoma kwenye vazi, liwe la sufu au kitani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 “Kama kuna namna ya upele wa ukoma kwenye vazi, liwe la sufu au kitani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 “Kama kuna namna ya upele wa ukoma kwenye vazi, liwe la sufu au kitani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 “Kuhusu vazi lolote lililoharibiwa na maambukizo ya ukoma, liwe ni vazi la sufu au kitani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 “Kama vazi lolote lina maambukizo ya upele: likiwa ni vazi la sufu au kitani,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

47 Kuhusu mavazi; vazi ambalo pigo la ukoma limo ndani yake, liwe ni vazi la sufu au la katani;

Tazama sura Nakili




Walawi 13:47
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nyavu zao hazitakuwa mavazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao; kazi zao ni kazi za uovu, na vitendo vya udhalimu vimo mikononi mwao.


Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.


Ukatwaa baadhi ya mavazi yako, ukajifanyia mahali palipoinuka, palipopambwa kwa rangi mbalimbali, ukafanya mambo ya kikahaba juu yake; mambo kama hayo hayatakuja wala hayatakuwako.


Kwa siku zote ambazo pigo litakuwa ndani yake atakuwa najisi, ataishi kwa upweke katika makazi yake, nje ya kambi.


likiwa limefumwa, au kusokotwa; likiwa ni la kitani au la sufu; liwe katika ngozi, au kitu chochote kilichofanywa cha ngozi;


Naye ataliteketeza vazi hilo, liwe ni la kufumwa au ni la kusokotwa, kama ni la sufu, au la kitani, au kitu chochote cha ngozi, ambacho kina hilo pigo ndani yake; kwa maana, ni ukoma unaona; vazi hilo litateketezwa;


Na katika pigo la ukoma katika vazi la sufu, au la kitani, kama ni katika lililofumwa, au lililosokotwa, au katika kitu chochote cha ngozi, sheria yake ni hiyo, kusema kwamba ni safi, au kusema kwamba ni najisi.


na ya ukoma wa vazi, na ukoma wa nyumba;


Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.


mvue mwenendo wenu wa kwanza, utu wa zamani unaoharibika, kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya;


Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo