Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 9:17 - Swahili Revised Union Version

17 Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli akamwambia Yusufu, Angalia, mimi ninakufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, naye atawarudisha mpaka nchi ya baba zenu.


Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.


Ndugu zangu, nanena kwa jinsi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni agano la mwanadamu, hata hivyo likiisha kuthibitika, hakuna mtu alibatilishaye, wala kuliongeza neno.


Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.


Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo