Waebrania 9:16 - Swahili Revised Union Version16 Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya. Tazama sura |