Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 9:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi twaeni tawi la hisopo, mkalichovye katika ile damu iliyo bakulini na kukipiga kizingiti cha juu, na miimo miwili ya mlango, kwa hiyo damu iliyo katika bakuli; tena mtu yeyote miongoni mwenu asitoke mlangoni mwa nyumba yake hata asubuhi.


Kisha akawaleta wana wa Haruni, na Musa akaitia hiyo damu katika ncha za masikio ya upande wa kulia, na katika vidole vya gumba vya mikono yao ya kulia, na katika vidole vya gumba vya maguu yao ya kulia; kisha Musa akainyunyiza hiyo damu katika madhabahu pande zote.


basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na dosari, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?


Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.


Maana kila amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa hao watu wote, kama ilivyoamuru sheria, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,


Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo