Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na Israeli waliosalia, katika hao makuhani, na Walawi, walikuwamo kote mijini mwa Yuda, kila mtu katika milki yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Watu wengine wa Israeli, makuhani na Walawi walikaa katika miji ya Yuda, kila mmoja katika urithi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Watu wengine wa Israeli, makuhani na Walawi walikaa katika miji ya Yuda, kila mmoja katika urithi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Watu wengine wa Israeli, makuhani na Walawi walikaa katika miji ya Yuda, kila mmoja katika urithi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na Israeli waliosalia, katika hao makuhani, na Walawi, walikuwamo kote mijini mwa Yuda, kila mtu katika milki yake.

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Pamoja na hao, mabawabu; Akubu, Talmoni, na ndugu zao waliolinda malangoni, walikuwa watu mia moja sabini na wawili.


Basi hawa ndio viongozi wa jimbo waliokaa Yerusalemu; ila mijini mwa Yuda wakakaa kila mtu katika milki yake mijini mwao, yaani, Israeli, makuhani, na Walawi, na Wanethini, wazawa wa watumishi wa Sulemani.


Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo