Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nahumu 3:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nami nitatupa uchafu uchukizao juu yako, kukufanya uwe mchafu, nami nitakufanya kuwa kitu cha kutazamwa kwa dharau.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nitakutupia uchafu, na kukutendea kwa dharau, na kukufanya uwe kioja kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nitakutupia uchafu, na kukutendea kwa dharau, na kukufanya uwe kioja kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nitakutupia uchafu, na kukutendea kwa dharau, na kukufanya uwe kioja kwa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nitakutupia uchafu, nitakufanyia dharau na kukufanya kioja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nitakutupia uchafu, nitakufanyia dharau na kukufanya kioja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Nami nitatupa uchafu uchukizao juu yako, kukufanya uwe mchafu, nami nitakufanya kuwa kitu cha kutazamwa kwa dharau.

Tazama sura Nakili




Nahumu 3:6
19 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye amenibwaga topeni, Nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.


Wao ni wana wa wapumbavu, naam, watoto wa wahuni; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi.


Lakini utanitupa shimoni, Nami hata nguo zangu zitanichukia.


Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwamwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.


Amenivunja meno kwa changarawe; Amenifunika majivu.


basi, tazama, nitawakusanya wapenzi wako wote ambao umejifurahisha pamoja nao, nao wote uliowapenda, pamoja na watu wote uliowachukia; naam, nitawakusanya juu yako pande zote, na kuwafunulia uchi wako, wapate kuuona uchi wako wote.


Tena BWANA ametoa amri katika habari zako, ya kwamba asiwepo tena mtu awaye yote mwenye jina lako; toka nyumba ya miungu yako nitakatilia mbali sanamu ya kuchora, na sanamu ya kuyeyusha; nitakufanyia kaburi lako; kwa maana u mbovu.


Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kulia wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako.


Huu ndio mji ule wa furaha, Uliokaa salama, Uliosema moyoni mwake, Mimi niko, Wala hapana mwingine ila mimi. Jinsi ulivyokuwa ukiwa, Mahali pa kulala pa wanyama wa bara! Kila mtu apitaye atazomea, Na kutikisa mkono wake.


Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema BWANA wa majeshi, basi nitawaleteeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.


Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya sadaka zenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo


Kwa sababu hiyo mimi nami nimewafanya ninyi kuwa kitu cha kudharauliwa, na unyonge, mbele ya watu wote, kama vile ninyi msivyozishika njia zangu, bali mmewapendelea watu katika sheria.


tukisingiziwa twasihi; tumefanywa kama takataka za dunia, na kuwa duni ya vitu vyote hata sasa.


Maana nadhani ya kuwa Mungu ametutoa sisi mitume mwisho, kama watu waliohukumiwa wauawe; kwa sababu tumekuwa tamasha kwa dunia; kwa malaika na wanadamu.


pindi mlipotwezwa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo.


Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kandokando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo