Nahumu 1:8 - Swahili Revised Union Version8 Lakini kwa gharika ifurikayo atapakomesha kabisa mahali pake, na kuwafuatia adui zake hata gizani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Adui wakiivamia nchi kama mafuriko, yeye huwaangamiza; huwafuatia na kuwafukuza mpaka gizani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Adui wakiivamia nchi kama mafuriko, yeye huwaangamiza; huwafuatia na kuwafukuza mpaka gizani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Adui wakiivamia nchi kama mafuriko, yeye huwaangamiza; huwafuatia na kuwafukuza mpaka gizani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Lakini kwa gharika ifurikayo atapakomesha kabisa mahali pake, na kuwafuatia adui zake hata gizani. Tazama sura |