Nahumu 1:10 - Swahili Revised Union Version10 Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Watateketezwa kama kichaka cha miiba, kama vile nyasi zilizokauka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Watateketezwa kama kichaka cha miiba, kama vile nyasi zilizokauka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Watateketezwa kama kichaka cha miiba, kama vile nyasi zilizokauka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu. Tazama sura |
Kwa hiyo kama vile muali wa moto uteketezavyo mabua makavu, na kama manyasi makavu yaangukavyo katika muali wa moto; kadhalika shina lao litakuwa kama ubovu, na ua lao litapeperushwa juu kama mavumbi; kwa sababu wameikataa sheria ya BWANA wa majeshi, na kulidharau neno lake aliye Mtakatifu wa Israeli.