Mwanzo 9:18 - Swahili Revised Union Version18 Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Watoto wa Noa waliotoka katika safina walikuwa Shemu, Hamu na Yafethi. Hamu alikuwa baba yake Kanaani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Watoto wa Noa waliotoka katika safina walikuwa Shemu, Hamu na Yafethi. Hamu alikuwa baba yake Kanaani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Watoto wa Noa waliotoka katika safina walikuwa Shemu, Hamu na Yafethi. Hamu alikuwa baba yake Kanaani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Wana wa Nuhu waliotoka ndani ya safina walikuwa: Shemu, na Hamu, na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.) Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Wana wa Nuhu waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.) Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani. Tazama sura |