Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:21 - Swahili Revised Union Version

21 Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Idrisi alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Idrisi alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zote za Yaredi ni miaka mia tisa na sitini na miwili, akafa.


Henoko akaenda pamoja na Mungu. Baada ya kumzaa Methusela aliishi miaka mia tatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,


Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu.


Na Henoko, mtu wa kizazi cha saba toka kwa Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana yuaja na watakatifu wake, maelfu kwa maelfu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo