Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 44:4 - Swahili Revised Union Version

4 Na walipotoka mjini, kabla hawajaendelea sana, Yusufu akamwambia yule msimamizi wa nyumba yake, Ondoka, uwafuate watu hawa, nawe utakapowapata, waambie, Kwa nini mmelipa mabaya kwa mema?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Walipokuwa wamesafiri mwendo mfupi tu kutoka mjini, Yosefu alimwambia msimamizi wa nyumba yake, “Haraka! Wafuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize, ‘Kwa nini mmelipa mema mliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mmeiba kikombe cha bwana wangu ambacho

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Walipokuwa wamesafiri mwendo mfupi tu kutoka mjini, Yosefu alimwambia msimamizi wa nyumba yake, “Haraka! Wafuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize, ‘Kwa nini mmelipa mema mliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mmeiba kikombe cha bwana wangu ambacho

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Walipokuwa wamesafiri mwendo mfupi tu kutoka mjini, Yosefu alimwambia msimamizi wa nyumba yake, “Haraka! Wafuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize, ‘Kwa nini mmelipa mema mliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mmeiba kikombe cha bwana wangu ambacho

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kabla hawajafika mbali kutoka mjini, Yusufu akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale watu mara moja; utakapowakuta, waambie, ‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kabla hawajafika mbali kutoka mjini, Yusufu akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale watu mara moja, utakapowakuta, waambie, ‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na walipotoka mjini, kabla hawajaendelea sana, Yusufu akamwambia yule msimamizi wa nyumba yake, Ondoka, uwafuate watu hawa, nawe utakapowapata, waambie, Kwa nini mmelipa mabaya kwa mema?

Tazama sura Nakili




Mwanzo 44:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakararua nguo zao, wakaweka kila mtu mzigo wake juu ya punda wake, wakarudi mjini.


Asubuhi kulipopambazuka, hao watu wakapewa ruhusa, wao na punda wao.


tazama, jinsi wanavyotulipa, wakija kututupa toka milki yako, uliyoturithisha.


Wamenilipa mabaya kwa mema yangu, Na chuki badala ya upendo wangu.


Wananilipa mabaya badala ya mema, Hata nafsi yangu ikaingia ukiwa.


Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.


Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?


Basi ikawa, walipoangamizwa kwa kufa watu wote wa vita waliokuwemo,


Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo