Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 42:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wakamwambia, Hasha, bwana, watumwa wako tumekuja ili tununue chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wao wakamjibu, “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wakamjibu, “Sivyo, bwana. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wakamwambia, Hasha, bwana, watumwa wako tumekuja ili tununue chakula.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 42:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. Alaaniwe yeyote yule atakayekulaani, Na abarikiwe yeyote yule atakayekubariki.


Isaka akajibu, akamwambia Esau, Tazama, nimemfanya awe bwana wako, na ndugu zake wote nimempa kuwa watumishi wake; kwa nafaka na mvinyo nimemtegemeza, nami nikufanyie nini sasa, mwanangu?


Ndugu zake wakamwambia, Je! Kweli wewe utatumiliki sisi? Nawe utatutawala sisi? Wakazidi kumchukia kwa ajili ya ndoto yake, na kwa maneno yake.


Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu watu wa kweli sisi; watumwa wako si wapelelezi.


Atakayeonekana kuwa nacho miongoni mwa watumwa wako, na afe, na sisi nasi tutakuwa watumwa wa bwana wangu.


Na Obadia alipokuwa njiani, kumbe! Eliya akakutana naye. Akamtambua, akaanguka kifudifudi, akanena, Je! Ni wewe, bwana wangu Eliya?


Naye Sauli akaitambua sauti ya Daudi, akasema, Hii ndiyo sauti yako, Daudi, mwanangu? Daudi akasema, Ndiyo, ni sauti yangu, bwana wangu, mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo