Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:28 - Swahili Revised Union Version

28 Ndivyo nilivyomwambia Farao, ya kwamba Mungu amemwonesha Farao atakayoyafanya hivi karibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Kama nilivyokueleza, ee Farao, Mungu amekufunulia mambo atakayofanya hivi karibuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Kama nilivyokueleza, ee Farao, Mungu amekufunulia mambo atakayofanya hivi karibuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Kama nilivyokueleza, ee Farao, Mungu amekufunulia mambo atakayofanya hivi karibuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 “Ni kama nilivyomwambia Farao. Mungu amemwonesha Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 “Ni kama vile nilivyomwambia Farao: Mungu amemwonyesha Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akamwambia, Tafsiri yake ndiyo hii. Matawi matatu ni siku tatu.


Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani.


Yusufu akamwambia Farao, Ndoto ya Farao ni moja; Mungu amemwonesha Farao atakayoyafanya hivi karibuni.


Na ndoto ya Farao kwa vile ilivyokuja mara mbili, ni kwa sababu neno hilo Mungu amelithibitisha, na Mungu atalitimiza upesi.


Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunjavunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo