Mwanzo 41:16 - Swahili Revised Union Version16 Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yosefu akamjibu Farao, “Sina uwezo huo; lakini Mungu atakupa jibu lifaalo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yosefu akamjibu Farao, “Sina uwezo huo; lakini Mungu atakupa jibu lifaalo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yosefu akamjibu Farao, “Sina uwezo huo; lakini Mungu atakupa jibu lifaalo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Yusufu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri, lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Yusufu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri, lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani. Tazama sura |