Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 39:18 - Swahili Revised Union Version

18 Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini mara nilipopiga yowe kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu, akakimbia nje ya nyumba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 39:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamwambia maneno yayo hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.


Ikawa bwana wake aliposikia maneno aliyoambia na mkewe, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo